English English Swahili Swahili

THE REVOLUTIONARY GOVERNMENT OF ZANZIBAR

Zanzibar Bureau of Standards

Standards | Quality | Life

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2026/2027

Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) inakaribisha maombi ya kujaza nafasi mpya kwa waombaji wenye sifa stahili katika ofisi yake iliyopo Unguja kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

Maombi yote yawasilishwe kwa njia ya kielektroniki kwenye mfumo wa maombi ya Ajira (ZanAjira) kupitia anuani ifuatayo:-    https://portal.zanajira.go.tz   si zaidi ya tarehe 14 Septemba, 2026 saa tisa na nusu Alaasiri.

Kupakua tangazo hilo, tafadhali bofya link ya hapa chini:

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2026/2027

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu,

Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS),

P.O.BOX 1136,

Maruhubi, Zanzibar.

Post expires at 3:30pm on Monday September 14th, 2026

Previous BODI YA WAKURUGENZI ZBS YATEMBELEA TPA